Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) nchini Tanzania kimetoa taarifa kwa umma kujibu tuhuma dhidi ya mwanataaluma wa chuo hicho. Chanzo cha picha, University of Dodoma Chuo Kikuu cha Dodoma(UDOM) nchini ...
Makamu huyo wa Rais ametoa agizo hilo jijini Dar es Salaam wakati akifungua Mkutano Mkuu wa nane wa Chama cha Majaji na Mahakimu wanawake Tanzania (TAWJA). Aidha ameonya kuhusu vitendo vya rushwa ya ...
Tanzania inatenga kiasi cha fedha kwa ajili ya kupambana na mitandao ya ngono. Tanzania inasema picha hizo ni kinyume cha maadili ya nchi hiyo, hivyo inatengeneza mfumo utakaoweza kuchuja na kuzuia ...
Wizara ya Afya nchini Tanzania leo imezindua mpango mpya wa kudhibiti UKIMWI, Magonjwa ya ngono na homa ya ini kwa pamoja, huku tafiti zikionyesha ongezeko la magonjwa ya ngono nchini humo. Akizindua ...
Vyombo vya habari Tanzania vimetakiwa kuwa na sera ndogo ya kupinga rushwa ya ngono katika vyumba vya habari inayoonekana kushamiri katika kipindi cha hivi karibuni hasa kwa waandishi waolipwa kwa ...
(Nairobi) – Kukana kwa Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania kuhusu matamko ya chuki dhidi ya mapenzi ya jinsia moja yaliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam ni hatua nzuri, lakini haitakuwa na ...
Polisi nchini Afrika kusini wameendesha msako wa nchi nzima na kufanikiwa kuwakamata watu sita wanaodaiwa kuendesha mtandao wa kutengeneza na kuuza filamu za ngono zinazpwahusisha watoto wadogo.
(Nairobi) – Ndoa za utotoni ndani ya Tanzania inapunguza upatikanaji wa eliumu kwa wasichana na inawaweka hatarini kupata madhara makubwa, Human Rights Watch imesema kwenye ripoti iliyotolewa leo.